Aliyekuwa mtangazaji wa Channel Ten, kipindi cha Utalii Tanzania, Bw. Cassius Mdami (pichani) amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Mazimbu mkoani Morogoro , ndugu na mwajiri wake wamethibitisha. Tutawajulisha mipango ya mazishi mara tukipata taarifa.
MOLA AIWEKE ROHO YA MAREHEMU
MAHALA PEMA PEPONI
-AMINA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...