Aliyekuwa mtangazaji wa Channel Ten, kipindi cha Utalii Tanzania, Bw. Cassius Mdami (pichani) amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Mazimbu mkoani Morogoro , ndugu na mwajiri wake  wamethibitisha. Tutawajulisha mipango ya mazishi mara tukipata taarifa.
MOLA AIWEKE ROHO YA MAREHEMU 
MAHALA PEMA PEPONI
-AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...