Kaimu Meneja Miradi Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Anne Mlimuka akitoa ufafanuzi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Geita Simon Berege katika maonesho yanayofanyika mkoani humo katika Mkutano Mkuu wa ALAT.
Ofisa Mawasiliano TEA, Sophia Asad akitoa maelezo katika maonesho wakati wa Mkutano Mkuu wa ALAT.
Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe akimweleza jambo Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, George Simbachawene kwenye maonesho yaliyofanyika katika Mkutano Mkuu wa ALAT mjini Musoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...