Meneja Mahusiano Mkuu wa Kampuni ya kuhifadhi mafuta nchini Tiper, Bw Emanuel Kondi akimkabidhi zawadi na cheti cha ushiriki wa Rock City Marathon mmoja wa washindi kwa upande wa mbio fupi katika michuano hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Kampuni ya Tiper ni miongoni wa wadhamini wakubwa wa mbio hizo. Wengine ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mbio hizo, Bw Zenno Ngowi (wa pili kulia)
 Meneja Mahusiano Mkuu wa Kampuni ya kuhifadhi mafuta nchini Tiper, Bw Emanuel Kondi akimkabidhi zawadi na cheti cha ushiriki wa Rock City Marathon mmoja wa washindi katika michuano hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Kampuni ya Tiper ni miongoni wa wadhamini wakubwa wa mbio hizo. Wengine ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mbio hizo, Bw Zenno Ngowi (wa pili kulia) na Mwanariadha mkongwe hapa nchini Bw Juma Ikangaa.
 Meneja Mahusiano Mkuu wa Kampuni ya kuhifadhi mafuta nchini Tiper, Bw Emanuel Kondi akimkabidhi cheti cha ushiriki wa Rock City Marathon mmoja wa washindi kwa upande wa mbio fupi katika michuano hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Kampuni ya Tiper ni miongoni wa wadhamini wakubwa wa mbio hizo. Wengine ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mbio hizo, Bw Zenno Ngowi (wa pili kulia)


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. MASIKINI, MTOTO HAKUFUNDISHWA JINNSI YA KUPOKEA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...