WANANCHI na wakazi wa jijini la Dar es Salaam wajitokeza katika viwanja vya mnazi Mmoja jijini Dar es Saala kupima afya zao ambapo madaktari wa hospitali mbalimbali za jijini la Dar es Salaam watakuwepo katika viwanja hivyo kwaajili ya kupima afya za wananchi wa jijini la Dar es Salaam bila malipo yoyote.
Baadhi ya Wananchi wakiwa katika foleni ya kuelekea sehemu ambazo zimetengwa kwaajili ya kucheki afya jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya Madaktari na watoa huduma ya afya wakitoa huduma leo katika viwanja vya mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo.
Umati wa wananchi waliojitokeza kupima afya zao mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makondo kuomba wananchi kwenda katika viwanja vya Mnazimmoja kucheki afya leo na kesho.
Hii inaonyesha ni kwa namna gani watu wanajali afya zao.
ReplyDeleteHiyo huduma ingewekwa angalao mara moja kwa mwezi.