Baadhi ya wahitimu wa mwaka 1986 hadi 1995 wa  shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kilakala , inayomilikiwa na Serikali ambao wameunda  umoja wao  wakiimba wimbo wa shule ikiwa ni ishara ya kukumbuka walipokuwa wanafunzi shuleni hapo  baada ya kufika shuleni hapo  Augosti 27, mwaka huu kukabidhi msaada shuka na madogoro kwa ajili ya Zahanati ya shule ambayo  pia ilikarabatiwa na  michango yao.
 Mhitimu wa shule  ya Sekondari Kilakala , Claudia Iringo akimkaabidhi mwanafunzi wa shule hiyo madafyari  kwa ajili ya  wenzao wenye mahitaji maalumu , wahitimu hao wa zamani wapatao 15  waliosoma kuanzia 1988 hadi 1995  waliitembele shule yao  hivi karibuni.
 Baadhi ya wahitimu wa mwaka 1986 hadi 1995 wa  shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kilakala , inayomilikiwa na Serikali ambao wameunda  umoja wao  wakiimba na kicheza kukumbusha enzi zao katika  shule hiyo.
Baadhi ya wahitimu wa mwaka 1986 hadi 1995 wa  shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kilakala , inayomilikiwa na Serikali ambao wameunda  umoja wao  pamoja na baadhi ya viongozi wa wanafunzi wa shule hiyo, walimu na bodi ya shule wakiwa ndani ya  jengo la zahanati ya  shule  baada ya kukabidhi shuka, magodoro pamoja na madatfari kwa wanafunzi.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...