Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akimpa pole
mwalimu Anna Mollel wa shule ya msingi Ileega ambaye nyumba yake
imebomoka kutokana na tetemeko la ardhi.
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akikagua nyumba
ya mwalimu Anna Mollel wa shule ya msingi Ileega ambaye nyumba yake
imebomoka kutokana na tetemeko la ardhi.
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na
baadhi ya watoto wilayani Kyerwa wakati akiwa kwenye ziara kujionea
madhara ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na
watoto wakati wa ziara ya kujionea maeneo yaliyoathirika na tetemeko la
ardhi lililotokea mkoani Kagera.
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na
mkulima wa viazi wilayani Kyerwa Shakiru Issa wakati wa ziara ya
kujionea maeneo yaliyoathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani
Kagera.Picha na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Kyerwa, Kagera.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...