Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akimpa pole mwalimu Anna Mollel wa shule ya msingi Ileega ambaye nyumba yake imebomoka kutokana na tetemeko la ardhi.
kye8
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akikagua nyumba ya mwalimu Anna Mollel wa shule ya msingi Ileega ambaye nyumba yake imebomoka kutokana na tetemeko la ardhi.
kye9
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na baadhi ya watoto wilayani Kyerwa wakati akiwa kwenye ziara kujionea madhara ya tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.
kye10
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na watoto wakati wa ziara ya kujionea maeneo yaliyoathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.
kye12
Waziri Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu Jenista Muhagama akiongea na mkulima wa viazi wilayani Kyerwa Shakiru Issa wakati wa ziara ya kujionea maeneo yaliyoathirika na tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera.Picha na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Kyerwa, Kagera.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...