Waziri Mkuu Mh.Majaliwa Kassim Majaliwa  (kushoto) akikapokea  mfano wa hundi yenyethamani ya shilingi  milioni 100/= kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao (kulia) ikiwa ni msaada kwa  ajili ya kukabiliana na maafa ya  tetemeko la ardhi  lililotokea hivi karibuni mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yaliyofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu leo Alhamisi Septemba 22, 2016 jijini  Dar es Salaam.Katikati ni  Mkurugenzi wa Mawasiliano na  Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia
 Waziri Mkuu Mh.Majaliwa Kassim Majaliwa  (kushoto) akiwa kwenyepicha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao (kulia)  mara baada ya kukabidhiwa  mfano wa hundi yenye thamani shilingi milioni 100= ikiwa ni msaada kwa  ajili ya kukabiliana na maafa ya  tetemeko la ardhi  lililotokea hivi karibuni mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yaliyofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu leo Alhamisi Septemba 22, 2016 jijini  Dar es Salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na  Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao ( wa pili kulia)  akizungumza na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim  Majaliwa ( kushoto) kwenye hafla ya  Kumkabidhi msaada wa shilingi  Milioni 100/= kwa ajiliya kusaidia wahanaga wa  tetemeko la ardhi liliotokea hivi karibuni mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yaliyofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu leo Alhamisi Septemba 22, 2016 jijini  Dar es Salaam. Kulia ni  Mkurugenzi wa Mawasiliano Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia.
Waziri Mkuu Khassim Majaliwa (katikati) akimshukuru Mkurugenzi wa  Vodacom Tanzania,Ian Ferrao mara baada ya kumkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 100/= ikiwa ni msaada  kwa  ajili ya kukabiliana na maafa ya wahanga wa  tetemeko la ardhi  lililotokea hivi karibuni mkoani Kagera.Makabidhiano hayo yaliyofanyika Ofisi ya Waziri Mkuu leo Alhamisi Septemba 22, 2016 jijini  Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...