Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma
Jordan Lugimbana baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma
Septemba 4, 2016 kwa ajili ya vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza
Septemba 6, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana Septemba 4, 2016 na Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama baada ya kuwasili kwenye
uwanja wa ndege wa Dodoma kwa ajili ya vikao vya Bunge vinavyotarajiwa
kuanza Septemba 6, 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...