Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kulia), akifanya mazungumzo na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata (kushoto), kujadili masuala mbalimbali ya Usimamizi wa Kodi wakati Waziri huyo alipotembelea Makao Makuu ya TRA jijini Dar es Salaam Septemba 19, 2016.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA), Bw. Alphayo Kidata (kulia), akimpokea Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango (kushoto), wakati Waziri huyo alipotembelea Makao Makuu ya TRA jijini Dar es Salaam Septemba 19, 2016, kujadili masuala mbalimbali ya Usimamizi wa Kodi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...