Waombolezaji wa kipeleka jene nyumbani kwa marehemu, Mbezi Mwisho
jijini Dar es Salaam le tayari kwa shughuli ya kuagwa na hatimaye
viwanja vya Leaders Club ambapo mwili wa marehemu ulikwenda kuzikwa
katika makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam leo.
Mwandishi
wa Habari, Grace Nackso akimfariji mjane Frigeria Adolf Kivamwo wakati
wa ibada fupi ya kuaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani
kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...