SIMU TV: Ni lini serikali itaipa halmshauri ya Itilima fedha za miradi ya maendeleo? Naibu waziri Selemani Jafo anafafanua hapa; https://youtu.be/dEiKWbr1q6k

SIMU TV: Serikali yatolea ufafanuzi kuhusu suala la mgogoro  wa ardhi baina ya kambi ya jeshi ya Monduli na vijiji vya jirani; https://youtu.be/A1RrD5itaHI

SIMU TV: Ni lini serikali itakamilisha mradi wa maji katika kijiji cha Mkwayungu? Naibu waziri  Isack Kamwele anajibu swali la Mhe. Lusinde; https://youtu.be/Y4RNRM1aTLs

SIMU TV: Je, ni lini serikali itaijenga barabara ya Nanyumbu kwa kiwango cha Lami? Naibu waziri Mhandisi Edwin Ngonyani anafafanua hapa;https://youtu.be/LhBXzuuHCeA

SIMU TV: Serikali yatolea ufafanuzi kuhusu gharama za usafiri wa anga kwa safari za ndani ya nchi ili kwa lengo la kurahisha usafirihttps://youtu.be/bpCMRMPo5Lk

SIMU TV: Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. joseph Haule aibana serikali kuhusu kutatua mgogoro wa ardhi katika kata za Tindiga na kilangali ;https://youtu.be/Jxl1l6Pe3kM

SIMU TV: Ni lini serikali itakamilisha ahadi yake ya kutoa fedha kwa ajili ya kujenga majosho katika jimbo la Mvomero? Haya hapa ni majibu ya serikali;https://youtu.be/2-4wnNMkRJw

SIMU TV: Naibu waziri wizara ya Ardhi Mhe. Angelina Mabula aelezea namna wizara yake ilivyojipanga katika kutatua migogoro ya ardhi nchini;https://youtu.be/8F60e4ZHHkU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...