SIMU TV: Ni lini serikali itaipa halmshauri ya Itilima fedha za miradi ya maendeleo? Naibu waziri Selemani Jafo anafafanua hapa; https://youtu.be/dEiKWbr1q6k
SIMU TV: Serikali yatolea ufafanuzi kuhusu suala la mgogoro wa ardhi baina ya kambi ya jeshi ya Monduli na vijiji vya jirani; https://youtu.be/A1RrD5itaHI
SIMU TV: Ni lini serikali itakamilisha mradi wa maji katika kijiji cha Mkwayungu? Naibu waziri Isack Kamwele anajibu swali la Mhe. Lusinde; https://youtu.be/Y4RNRM1aTLs
SIMU TV: Je, ni lini serikali itaijenga barabara ya Nanyumbu kwa kiwango cha Lami? Naibu waziri Mhandisi Edwin Ngonyani anafafanua hapa;https://youtu.be/LhBXzuuHCeA
SIMU TV: Serikali yatolea ufafanuzi kuhusu gharama za usafiri wa anga kwa safari za ndani ya nchi ili kwa lengo la kurahisha usafiri; https://youtu.be/bpCMRMPo5Lk
SIMU TV: Mbunge wa jimbo la Mikumi Mhe. joseph Haule aibana serikali kuhusu kutatua mgogoro wa ardhi katika kata za Tindiga na kilangali ;https://youtu.be/Jxl1l6Pe3kM
SIMU TV: Ni lini serikali itakamilisha ahadi yake ya kutoa fedha kwa ajili ya kujenga majosho katika jimbo la Mvomero? Haya hapa ni majibu ya serikali;https://youtu.be/2-4wnNMkRJw
SIMU TV: Naibu waziri wizara ya Ardhi Mhe. Angelina Mabula aelezea namna wizara yake ilivyojipanga katika kutatua migogoro ya ardhi nchini;https://youtu.be/8F60e4ZHHkU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...