SIMU.tv: Naibu Spika wa bunge Dkt. Tulia Akson ataka wizara na kamati za kisekta zishirikishwe katika mafunzo ya bajeti; https://youtu.be/7QdpdfnQCoQ
 SIMU.tv: Baadhi ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi katika shule ya sekondari Longido mkoani Arusha waiomba serikali msaada wa vifaa vya kukinga ngozi zao;https://youtu.be/XBnctM5_ovk
 SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia  Jeneral mstaafu Emmanuel Maganga amesema serikali itafanya uchunguzi juu ya vifo vya watoto 7 walioteketea kwa moto ;https://youtu.be/ThRCj-3CRTI
 SIMU.tv: Serikali mkoani Lindi yapiga marufuku manunuzi ya Korosho kwa kangomba ili kuwawezesha wakulima kunufaika na kilimo cha korosho;https://youtu.be/3l3MbplGEso
 SIMU.tv: Mamlaka ya mapato Tanzania TRA yatenga eneo la kibiashara la kariakoo la jijini Dar es Salaam kuwa mkoa maalum wa kodi; https://youtu.be/gfh_bgY6sU0
 SIMU.tv: Wafanyabiashara wa soko la Tarakea wilayani Rombo mkaoni Kilimanjaro wasusia kufanyabiashara katika soko hilo kutokana na kuwa chini ya kiwango;https://youtu.be/iYiIJUdtkcI
 SIMU.tv: Jeshi la kujenga taifa JKT lawataka wahitimu wa mafunzo ya JKT mkoani Kigoma kuwa mstari mbele katika kudumisha maadili; https://youtu.be/PA_dj662mlc
 SIMU.tv: Baadhi ya wakazi wa Zanzibar wampongeza Rais Magufuli kwa kutoa hotuba safi inayosadifu hali ya maisha ya watanzania; https://youtu.be/R6dag5B_X2I
 SIMU.tv: Chama Cha Mapinduzi CCM kimesema hotuba za Rais Magufuli alizozitoa wakati wa ziara yake visiwani Zanzibar ni dira ya kuelekea Tanzania ya viwanda;https://youtu.be/UEWTtg8iB24
 SIMU.tv: Timu ya stand united imeibuka kidedea  katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuitandika Toto African goli moja kwa sifuri:https://youtu.be/rkz0X0HZPow
 SIMU.tv: Baadhi ya vilabu hapa nchini vitalazimika kubadilisha  mifumo yao ya uendeshaji kutoka sports klabu na kuwa football klabu: https://youtu.be/pYyqpNB86C8
 SIMU.tv: Kocha wa timu ya soka ya  wanawake Tanzania bara, amesema timu yake ipo tayari  kwa michuano ya challenge itakayofanyika nchini Uganda; https://youtu.be/JBN-2ucPugQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...