SIMU.tv: Naibu Spika wa bunge Dkt. Tulia Akson ataka wizara na kamati za kisekta zishirikishwe katika mafunzo ya bajeti; https://youtu.be/7QdpdfnQCoQ
SIMU.tv: Baadhi ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi katika shule ya sekondari Longido mkoani Arusha waiomba serikali msaada wa vifaa vya kukinga ngozi zao;https://youtu.be/XBnctM5_ovk
SIMU.tv: Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia Jeneral mstaafu Emmanuel Maganga amesema serikali itafanya uchunguzi juu ya vifo vya watoto 7 walioteketea kwa moto ;https://youtu.be/ThRCj-3CRTI
SIMU.tv: Serikali mkoani Lindi yapiga marufuku manunuzi ya Korosho kwa kangomba ili kuwawezesha wakulima kunufaika na kilimo cha korosho;https://youtu.be/3l3MbplGEso
SIMU.tv: Mamlaka ya mapato Tanzania TRA yatenga eneo la kibiashara la kariakoo la jijini Dar es Salaam kuwa mkoa maalum wa kodi; https://youtu.be/gfh_bgY6sU0
SIMU.tv: Wafanyabiashara wa soko la Tarakea wilayani Rombo mkaoni Kilimanjaro wasusia kufanyabiashara katika soko hilo kutokana na kuwa chini ya kiwango;https://youtu.be/iYiIJUdtkcI
SIMU.tv: Jeshi la kujenga taifa JKT lawataka wahitimu wa mafunzo ya JKT mkoani Kigoma kuwa mstari mbele katika kudumisha maadili; https://youtu.be/PA_dj662mlc
SIMU.tv: Baadhi ya wakazi wa Zanzibar wampongeza Rais Magufuli kwa kutoa hotuba safi inayosadifu hali ya maisha ya watanzania; https://youtu.be/R6dag5B_X2I
SIMU.tv: Chama Cha Mapinduzi CCM kimesema hotuba za Rais Magufuli alizozitoa wakati wa ziara yake visiwani Zanzibar ni dira ya kuelekea Tanzania ya viwanda;https://youtu.be/UEWTtg8iB24
SIMU.tv: Timu ya stand united imeibuka kidedea katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuitandika Toto African goli moja kwa sifuri:https://youtu.be/rkz0X0HZPow
SIMU.tv: Baadhi ya vilabu hapa nchini vitalazimika kubadilisha mifumo yao ya uendeshaji kutoka sports klabu na kuwa football klabu: https://youtu.be/pYyqpNB86C8
SIMU.tv: Kocha wa timu ya soka ya wanawake Tanzania bara, amesema timu yake ipo tayari kwa michuano ya challenge itakayofanyika nchini Uganda; https://youtu.be/JBN-2ucPugQ
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...