SIMU.tv: Rais Magufuli amemtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa Mwanza kutokana na ajali mbaya  ya gari iliyotokea wilayani Kwimba:https://youtu.be/pPPWmQkMP9s
 SIMU.tv: Mahakama kuu ya Tanzania jana imemtangaza mbunge halali  wa manispaa ya  Temeke  Abdallah Mtolea kupitia chama cha CUF: https://youtu.be/_8fMxWGRFXY
 SIMU.tv: Watoto zaidi ya 4500 wenye tatizo la mgongo wazi,kichwa kikubwa na matatizo ya mifupa huzaliwa kila mwaka nchini Tanzania: https://youtu.be/47OTkrflB8I
 SIMU.tv: Rais wa Zanzibar Dkt.Shein amesema atahakikisha kituo cha televisheni cha Zanzibar kitaingia kikamulifu katika mfumo wa digitali mwaka huu:https://youtu.be/Mcp25P254-g
 SIMU.tv: Rais Magufuli amewapongeza wachezaji wa  timu ya taifa ya wanawake kwa kuandika historia ya kuwa mabingwa wa kwanza katika michuano ya Challenge:https://youtu.be/uIh0bY_t96Y
 SIMU.tv: Wasanii wametakiwa kuwa na nidhamu na bidii katika uigizaji ili kupata mafanikio katika anga za  kitaifa na kimataifa: https://youtu.be/Ad2veAOGoJc
 SIMU.tv: Fahamu mambo muhimu zaidi juu ya sababu za kuadhisha siku ya Tembo kitaifa ikihusianishwa ziadi na kukua kwa uchumi nchini;https://youtu.be/TTGuQW4IljE
 SIMU.tv: Fuatilia ufahamu zaidi juu ya uzinduzi wa shamba darasa la sungura na umuhimu wake kutoka kwa Bi Ubwa Ibrahim; https://youtu.be/JHufN7c7Kik
 SIMU.tv: Fahamu zaidi kuhusu mkutano wa vijana kutoka nchi mbalimbali Afrika juu ya mabadiriko ya tabia ya nchi na nishati; https://youtu.be/7vqmDqmsnKQ 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...