SIMU.tv: Rais Magufuli amemtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa Mwanza kutokana na ajali mbaya ya gari iliyotokea wilayani Kwimba:https://youtu.be/pPPWmQkMP9s
SIMU.tv: Mahakama kuu ya Tanzania jana imemtangaza mbunge halali wa manispaa ya Temeke Abdallah Mtolea kupitia chama cha CUF: https://youtu.be/_8fMxWGRFXY
SIMU.tv: Watoto zaidi ya 4500 wenye tatizo la mgongo wazi,kichwa kikubwa na matatizo ya mifupa huzaliwa kila mwaka nchini Tanzania: https://youtu.be/47OTkrflB8I
SIMU.tv: Rais wa Zanzibar Dkt.Shein amesema atahakikisha kituo cha televisheni cha Zanzibar kitaingia kikamulifu katika mfumo wa digitali mwaka huu:https://youtu.be/Mcp25P254-g
SIMU.tv: Rais Magufuli amewapongeza wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake kwa kuandika historia ya kuwa mabingwa wa kwanza katika michuano ya Challenge:https://youtu.be/uIh0bY_t96Y
SIMU.tv: Wasanii wametakiwa kuwa na nidhamu na bidii katika uigizaji ili kupata mafanikio katika anga za kitaifa na kimataifa: https://youtu.be/Ad2veAOGoJc
SIMU.tv: Fahamu mambo muhimu zaidi juu ya sababu za kuadhisha siku ya Tembo kitaifa ikihusianishwa ziadi na kukua kwa uchumi nchini;https://youtu.be/TTGuQW4IljE
SIMU.tv: Fuatilia ufahamu zaidi juu ya uzinduzi wa shamba darasa la sungura na umuhimu wake kutoka kwa Bi Ubwa Ibrahim; https://youtu.be/JHufN7c7Kik
SIMU.tv: Fahamu zaidi kuhusu mkutano wa vijana kutoka nchi mbalimbali Afrika juu ya mabadiriko ya tabia ya nchi na nishati; https://youtu.be/7vqmDqmsnKQ
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...