Kiungo wa Yanga, Thaban Kamusoko akiwania mpira na Beki wa Maji Maji, Selemani Kibuta wakati wa Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Timu ya Maji Maji ya Songea, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja Uhuru, Jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda bao 3-0.
 Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akionyesha uwezo wa kuuchukua mpira kwa adui yake, wakati wa Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Timu ya Maji Maji ya Songea, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja Uhuru, Jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda bao 3-0.
 Amis Tambwe wa Yanga, akimpiga tobo maridadi, beki wa Maji Maji, Ernest Raphael, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Timu ya Maji Maji ya Songea, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja Uhuru, Jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda bao 3-0.
 Chenga ya mwili: Mchezaji wa Yanga, Simon Msuva akimkwepa Beki wa Maji Maji, Hamad Kibopile, wakati wa Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Timu ya Maji Maji ya Songea, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja Uhuru, Jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda bao 3-0.
 Mchezaji wa Yanga, Deus Kaseke akiipatia timu yake bao la kuongoza dhidi ya Maji Maji.
Donald Ngoma wa Yanga, akichuana vikali na Beki wa Maji Maji, Bahati Yussuf.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...