Mratibu wa Kongamano la Biashara baina ya
Tanzania na Congo DRC, Bi. Anna Msonsa
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam,
kuhusu kongamano hilo linalotarajiwa kufanyika Septemba 22 Jijini Lubumbashi, DR Congo. Kushoto ni Afisa Miradi wa Kampuni ya Uhusiano ya 361 Tanzania, Bi.
Naomi Godwin.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Bw. Louis P. Accaro
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam,
kuhusu kongamano hilo linalotarajiwa kufanyika Septemba 22 Jijini Lubumbashi, DR Congo. Kushoto ni Mratibu wa Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Congo
DRC, Bi. Anna Msonsa.
Meneja
wa Masoko wa Kampuni ya GSM Group Bi. Farida Rubanza (kushoto) akielezea jambo
wakati wa mkutanio wao na waandishi wa
habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) Bw. Louis P.
Accaro, Mratibu wa Kongamano la Biashara baina ya Tanzania na Congo DRC, Bi.
Anna Msonsa na Afisa Miradi wa Kampuni ya Uhusiano ya 361 Tanzania, Bi. Naomi
Godwin. Picha
na Frank Shija, MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...