Usikose kuungana na Mubelwa Bandio leo (Oktoba 6, 2016) saa kumi na mbili jioni kwa saa za Marekani Mashariki (6:00pm ET) katika mahojiano ya moja kwa moja na M'bunge wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya CCM Mhe. Peter Serukamba.

Tutajadili mengi kuhusu Tanzania yetu ya sasa na ile tuitakayo, nawe utapata fursa ya kuuliza swali, kutoa maoni na hata kushauri.
Kwa walio Marekani na Canada, piga simu 716 746 0086 (saa 24) ama 240 454 0093 (tuwapo moja kwa moja studio)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...