Asaalaam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatu.
Katika kuu adhimisha Mwaka Mpya wa kiislam Hijria 1438  Siku ya Jumamosi ya Tarehe 1/10/2016 na Jumapili 2/10/2016 Kwa Uwezo wa Allah tulianza kuchimba Msingi katika Markaz yetu na Kuanza Ujenzi wa kituo cha MARKAZ SHAAFIYATUL AZHARIYA  huku Mbezi Salasala jijini Dar es salaam.
Leo Jumapili Tar 9/10/2016  ni mapumziko katika harakati zetu. Kesho Jumatatu Mungu akipenda tunaendelea na ujenzi. Malipo kwa Mafundi tayari tumetimiza Tshs 600,000/= Bado Tshs 400,000 /=. Fundi wa geti amefika na kataja gharama zake za kutengeneza geti milango miwili mkubwa na mdogo amehitaji Milioni Moja.
Hivi tunavyoongea mchanga umekwisha kabisa site (Muhimu kupatikana kwa haraka kukamilisha Ujenzi) Tshs 180,000 na Nondo 15 @ Kila Nondo Moja 15500/=. Michango inaendelea na kwa kidogo utakachotoa ndicho kitakachofanikisha haya yote. 
Kwa heshma na Taadhima nakualika wewe Mpenda kheiri ambae upo tayari kuja kuchangia kwa hali na Mali kukaribia katika zoezi hili. Kwa yoyote ambaye yupo tayari kushiriki kuja kuchimba Msingi namkaribisha 

Tafadhali tuma Mchango wako kupitia ama wsiliana nasi kwa Namba 0715800772 (CALL or SMS,  WHATSAPP, TIGO-PESA ) utazungumza na Na Mratibu Msimamizi  GHALIB N MONERO. 


 Sehemu ya uwanja kabla ya kuanza kazi ya kuchimba msingi

.


 Hatua ilipofikia wiki iliyopita
Hatua iliyofikia wiki hii. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...