Mwakilishi wa Jimbo la Mahonda Balozi Seif akizungumza na wana CCM na Wananchi wa Matawi ya Mangapwani na Mangapwani Bondeni katika Mkutano wa kutoa shukrani baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu.
 Mbunge wa Jimbo la Mahonda Mh. Bahati Ali Abeid akisisitiza Jambo wakati wa Mkutano wa kushukuru wapiga kura wake baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu hapo Tawi la CCM Mangapwani.
Baadhi ya Viongozi wa Kamati za Siasa na wana CCM wa Matawi ya Mangapwani na Mangapwani Bondeni wakifuatilia hotuba ya Mwakilishi na Mbunge wa Jimbo la Mahonda hawapo Pichani Balozi Seif na Mh. Bahati waliofika kutoa shukrani baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...