Balozi wa Austraia nchini John Feakes akizungumza alipotembelea kijiji cha Dongobesh Mkoani Manyara, katika mradi wa FREO2 wa kuanzisha kituo cha kufua hewa ya oxygen kwa ajili ya kituo cha afya Dongobesh, kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Chelestino Mofuga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...