Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akipata maelezo kuhusu utendaji kazi wa Zahanati ya Vingunguti, alipokagua Zahanati hiyo leo. Kulia ni Mganga Mkuu wa Zahanati hiyo Chiku Simba. Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo
Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na baadhi wa wagonjwa waliokuwa wakisubiri kupatiwa huduma katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo leo
Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na baadhi wa wagonjwa waliokuwa wakisubiri kupatiwa huduma katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo.
Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na baadhi wa wagonjwa waliokuwa wakisubiri kupatiwa huduma katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo
Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na baadhi wa wagonjwa waliokuwa wakisubiri kupatiwa huduma katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...