Msaani chipukizi,Mussa Mkumba a.k.a Dogo Jet akionesha uwezo wake jukwaani katika tamasha la kusaka vipaji vya waimbaji wa nyimbo za singeli katika viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.
Msaani chipukizi,Idd Issa a.k.a Mauwezo akionesha uwezo wake jukwaani katika tamasha la kusaka vipaji vya waimbaji wa nyimbo za singeli katika viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.
Mashabiki wakipagawishwa na wasanii waimbaji wa nyimbo za singeli katika viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.
Mashabiki wakipagawishwa na wasanii waimbaji wa nyimbo za singeli katika viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...