SIMU.TV: Diwani wa kata ya Kaloleni ambae pia ni mjumbe wa chama cha mapinduzi, amenusurika kifo baada ya kundi la wamasai wenye silaha kali kumshambulia; https://youtu.be/T47pLU43h-g

SIMU.TV: Wananchi wilayani Mkuranga wamepinga maamuzi ya halmashauri yao katika maamuzi yaliyofikiwa juu ya mgogoro wa ardhi uliosemekana kumalizika hapo awali; https://youtu.be/5tGyoSacZzI

SIMU.TV: Waumini wa dini ya kiislamu kupitia dhehebu la Bohora, wametoa msaada wa Bajaj mbili kijana Said Ally aliyetobolewa macho;https://youtu.be/xZjK1UfQa0I

SIMU.TV: Makamu wa rais mstaafu Dr Mohamed Ghalib Bilal, amesema dini ya kiislamu daima imekuwa mstari wa mbele katika kufundisha matendo yaliyo mema; https://youtu.be/m_94JaHIi1g

SIMU.TV: Mbunge wa jimbo la Monduli Julius Kalanga, amewataka jamii ya wafugaji ya Kimasai kuachana na wizi wa mifugo na kuachia sheria kufuata mkondo wake; https://youtu.be/uz_MhHMTYOU

SIMU.TV: Wananchi wa wilaya ya Makete mkoani Njombe, wamehimizwa kuendelea kupanda miti kwa wingi ili kulinda mazingira;https://youtu.be/yzaPGOF5pes

SIMU.TV: Ligi kuu Tanzania bara imeendelea kurindima hii leo katika viwanja mbalimbali, na huu hapa ni mkusanyiko wa matokeo ya michezo hiyo; https://youtu.be/I7Je7LM9sKU

Wadau wa soka mkoani Geita wameelezea kilio chao cha kukosa ligi mbalimbali ambazo zingewawezesha vijana kuachana na mambo yasiyokuwa na faida; https://youtu.be/Zy16BUn2W2E

SIMU.TV: Ili kuandaa timu bora ya taifa nchini, wadau wa michezo nchini wanatakiwa kuunga mkono juhudi mbalimbali za kusaka vipaji vya soka na kuviendeleza; https://youtu.be/6ZyxtOcJCSw

SIMU.TV: Katika anga za michezo kimataifa hii leo tumebahatika kukukusanyia taarifa za soka sambamba na tenisi, karibu hapa uweze kutazama; https://youtu.be/HA6qvRRTnjs

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...