SIMU.TV: Diwani wa kata ya Kaloleni ambae pia ni mjumbe wa chama cha mapinduzi, amenusurika kifo baada ya kundi la wamasai wenye silaha kali kumshambulia; https://youtu.be/T47pLU43h-g
SIMU.TV: Wananchi wilayani Mkuranga wamepinga maamuzi ya halmashauri yao katika maamuzi yaliyofikiwa juu ya mgogoro wa ardhi uliosemekana kumalizika hapo awali; https://youtu.be/5tGyoSacZzI
SIMU.TV: Waumini wa dini ya kiislamu kupitia dhehebu la Bohora, wametoa msaada wa Bajaj mbili kijana Said Ally aliyetobolewa macho;https://youtu.be/xZjK1UfQa0I
SIMU.TV: Makamu wa rais mstaafu Dr Mohamed Ghalib Bilal, amesema dini ya kiislamu daima imekuwa mstari wa mbele katika kufundisha matendo yaliyo mema; https://youtu.be/m_94JaHIi1g
SIMU.TV: Mbunge wa jimbo la Monduli Julius Kalanga, amewataka jamii ya wafugaji ya Kimasai kuachana na wizi wa mifugo na kuachia sheria kufuata mkondo wake; https://youtu.be/uz_MhHMTYOU
SIMU.TV: Wananchi wa wilaya ya Makete mkoani Njombe, wamehimizwa kuendelea kupanda miti kwa wingi ili kulinda mazingira;https://youtu.be/yzaPGOF5pes
SIMU.TV: Ligi kuu Tanzania bara imeendelea kurindima hii leo katika viwanja mbalimbali, na huu hapa ni mkusanyiko wa matokeo ya michezo hiyo; https://youtu.be/I7Je7LM9sKU
Wadau wa soka mkoani Geita wameelezea kilio chao cha kukosa ligi mbalimbali ambazo zingewawezesha vijana kuachana na mambo yasiyokuwa na faida; https://youtu.be/Zy16BUn2W2E
SIMU.TV: Ili kuandaa timu bora ya taifa nchini, wadau wa michezo nchini wanatakiwa kuunga mkono juhudi mbalimbali za kusaka vipaji vya soka na kuviendeleza; https://youtu.be/6ZyxtOcJCSw
SIMU.TV: Katika anga za michezo kimataifa hii leo tumebahatika kukukusanyia taarifa za soka sambamba na tenisi, karibu hapa uweze kutazama; https://youtu.be/HA6qvRRTnjs
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...