Baadhi ya Watanzania waishio Uingereza wakiwa katika hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya kuendeleza harakati za Albino Tanzania wakiwa pamoja na Rais wa Albino Society of Tanzania Bw. Josephat Tonner aliyeketi mbele.
Baadhi ya kinamama wa Kitanzania waishio Uingereza wakiwa katika hafla ya kuchangia fedha kwa ajili ya kuendeleza harakati za Albino Tanzania wakiwa pamoja na Rais wa Albino Society of Tanzania Bw. Josephat Tonner
Rais wa Albino Society of Tanzania Bw. Josephat Tonner akizungumzia juu ya changamoto wanazozipata watu wenye ulemavu wa ngozi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...