Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Sheria namba moja ni Field of Play (Uwanja) na imegawanyika katika vipengele 13

1: Field surface.
*Katika sheria za shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA wameanisha aina ya uwanja unaotakiwa kuwa tukianzia na nyasi. Katika kupitisha kwao wamepitisha aina mbili za nyasi ambazo ni nyasi za kupanda (original) na nyasi bandia (artificial).

*Katika mechi zote za kimataifa kwa upande wa klabu au nchi viwanja vinavyotumika vinatakiwa vikidhi viwango vya FIFA.

*Nyasi hizo (nyasi za kupanda na nyasi bandia) lazima ziwe za kijani

2:Field Marking

*Umbo la uwanja linatakiwa liwe mstatili likiwa na mistari iliyochorwa kuonyesha mipaka ya uwanja huo.

*Mistari mirefu inajulikana kama Touchliness na mistari mifupi inajulikana na Goal line.

*Uwanja umegawanywa kwa mstari wa touchline unaopatikana katikati ya uwanja na duara likiwa na Radius (kipenyo) 9.15 sawa na yadi 10.

*Mistari yote inatakiwa kuwa na upana usiozidi 12cm na itafanana katika maeneo yote na hakutatakiwa kuwa na mabadiliko au michoro tofauti.



3:Dimensions(vipimo)
*Urefu (touchliness)
90m sawa na 100yad (minimum)
120m sawa na 130yad(maximum)

*Urefu(goal lines)
45m sawa na 50yad(minimum)
90m sawa na 100yad( maximum)

4: Dimension for international matches
*Urefu (touchlines)
100m sawa na 100yad (minimum)

110m sawa na 120yad (maximum)

*Urefu (goal lines)
64m sawa na 70yad (Minimum)
75m sawa na 80yad (Maximum)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...