Na Humphrey Shao,Globu ya Jamii


Shirikisho la soka nchini TFF limeweka wazi kuwa beki wa kulia wa Yanga Hassan Kessy, aliyetokea Simba ruksa kucheza katika ligi kuu ya vodacom kutokana na  kanuni za ligi hiyo kwa kuwa swala kesi ni madai .



Afred amesema kuwa swala mchezaji huyo aliwezi kumzuia mchezaji huyo kucheza kwakuwa tayari swala hilo lipo katika hatua ya usuluhushu .

"Lakini ikitokea usuluhishi alijafikiwa maamuzi hivyo kamati itachukua maamuzi kwa mujibu wa kanuni zinavyoeleza na majibu nitakuja kuwapatia"amesema Lucas.



Amesema kuwa Simba katika mkataba wake waliweka kipengele cha kulipa zaidi ya dola 600 kama faini hivyo tunasubiri maamuzi hayo hivyo kesi anapaswa kucheza mpaka hapo kamati itakapo toa maamuzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...