Polisi
kanzu akimdhibiti kwa bastola, alipomkamata kijana aliyekimbia na pingu
baada ya kufika katika Mahakama ya Ilala, Kariakoo jijini Dar es
Salaam, leo akitokea mahabusu. jina la kijana huyo na kesi inayomkabili
havikuweza kupatikana mara moja. Kijana huyo alikamatwa hatua chache
katika mtaa wa Lumumba.
Abiria waliokuwa katika daladala wakishangaa tukio hilo
Polisi akimdhibiti kijana huyo wakati akirejeshwa mahakamani baada ya kukamatwa akijaribu kukimbia na pingu
Polisi
akimdhibiti kijana huyo wakati akirejeshwa mahakamani baada ya
kukamatwa akijaribu kukimbia na pingu. PICHA ZOTE NA BASHIR
NKOROMO-theNkoromo Blog
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...