Sehemu ya eneo la barabara ya Mwananyamala ambapo mmoja wa wakazi wa
eneo hilo akizoa tope la maji linalotokana na kutiririka kwa maji ya
Mabomba ya Dawasco,Mkazi huyo huwatoza waendesha magari kulipia kiasi chochote na kuruhusu magari kupita eneno hilo
Moja ya barabara ya Mwananyamala ikiwa imejaa maji kutokana na kupasuka kwa mabomba ya Dawasco,ambayo hupelekea uharibifu mkubwa wa barabara na pia kusasabisha adha kubwa kwa waendesha magari na pia wapitao kwa Miguu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...