Askofu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Iringa Dkt Owdenburg Mdegela (katikati) akiwatambulisha mbele ya waumini wa kanisa kuu la Iringa askofu mteule wa dayosisi hiyo mchungaji Blaston Gavile (wa pili kushoto) na mkewe pamoja na msaidizi wa askofu huyo mchungaji Himid Saga (wa pili kulia) na mkewe.
|
Home
Unlabelled
KKKT DAYOSISI YA IRINGA YAPATA ASKOFU MPYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...