Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (kati) alikuwa na wasaidizi wa karibu mahiri mbalimbali katika enzi za uongozi wake wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hawa ni baadhi tu waliomsaidia kwenye nyanja ya habari. Kutoka kushoto ni Marehemu Habibu Halahala, Paul Sozigwa, Marehemu Hashim Mbita na Benjamin William Mkapa, ambaye alikuja kuchukua nafasi yake kwenye awamu ya Tatu. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. RIP wazee wetu waadilifu. Amebakia Ben tu kwenye hili group.

    ReplyDelete
  2. Safi sana kwa kumbukumbu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...