Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akihutbia kwenye hafla fupi ya uwekaji jiwe la msingi ujenzi wa wodi
tatu za wazazi na watoto katika Hospitali za Rufaa za Mkoa wa Dar es
salaam leo Octoba 11,2016.
Kampuni ya Amsons Gropu imefadhili ujenzi wa wodi za wazazi katika hospitali ya Mwananyamala, Amana-Ilala na Temeke.Wodi hizo za kisasa zitakuwa na vitanda 150 na ujenzi wake utagharimu bilioni 4.5 mpaka ukamilike.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan(katikati) akisoma maandishi yalioandikwa kwenye jiwe la msingi la
ujenzi wa wodi ya wazazi katika hospitali ya Amana, Ilala jijini Dar es
salaam,kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na kulia ni Meneja wa
Biashara wa kampuni ya Amsons Group Bw. Suleiman K.Amour.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Kampuni ya Amsons Gropu imefadhili ujenzi wa wodi za wazazi katika hospitali ya Mwananyamala, Amana-Ilala na Temeke.Wodi hizo za kisasa zitakuwa na vitanda 150 na ujenzi wake utagharimu bilioni 4.5 mpaka ukamilike.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...