Mama wa mitindo Asya Idarous Khamsin ataonesha mitindo yake kama mgeni mwalikwa
kwenye "Plus Size Fashion Show" inayotegemea kufanyika huko
Zanzibar leo Jumamosi Tarehe 8 August 2016 katika Hotel ya Grand Palace.
Asya amejipatia Shavu
hili,kupitia kampuni ya mitindo ya Zanzibar inayo tambulika kama
"Style House" chini ya C.E.O Mama Titi ambaye anaishi
uingereza. Ingawa Asya anaishi Marekani lakini kwa sasa yupo
hapaTanzania kwa ajili ya onesho hilo lenye dhumuni kubwa la
kuchangia "Breast Cancer Zanzibar"
Mbali na Mama wa
mitindindo, designers wengine pia watashiriki kikamilifu kwenye ufanisi
Onesho hilo. Special Apperance atakuwa ni mwigizaji Wastara Sajuki,
Burudani itatolewa na
Khadja Kopa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...