Mama wa mitindo Asya Idarous Khamsin ataonesha mitindo yake kama mgeni mwalikwa kwenye "Plus Size Fashion Show" inayotegemea kufanyika huko Zanzibar leo Jumamosi  Tarehe 8 August 2016 katika Hotel ya Grand Palace. 
Asya amejipatia Shavu hili,kupitia kampuni ya mitindo ya Zanzibar inayo tambulika kama "Style House" chini ya C.E.O Mama Titi ambaye anaishi uingereza. Ingawa Asya anaishi Marekani lakini kwa sasa yupo  hapaTanzania kwa ajili ya onesho hilo lenye dhumuni kubwa la kuchangia "Breast Cancer Zanzibar"
Mbali na Mama wa mitindindo, designers wengine pia watashiriki kikamilifu kwenye ufanisi Onesho hilo. Special Apperance atakuwa ni mwigizaji Wastara Sajuki, Burudani itatolewa na 
Khadja Kopa. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...