Mwenyekiti
wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira
mjini Moshi,Prof Faustine Bee (kushoto) akimuongoza Waziri wa Maji na
Umwagiliaji ,Mhandisi Gerson Lwenge kuelekea katika chanz cha
Mkashilingi kilichopo wilyani Hai kwa ajili ya uzinduzi, kulia kwa
Waziri ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini
Moshi (MUWSA).Joyce Msiru. Waziri
wa Maji na Uwagiliaji ,Mhandisi Gerson Lwenge akizungumza wakati wa
uzinduzi wa chanzo cha maji cha Mkashilingi kilichopo wilayani Hai
mkoani Kilimanjaro. Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said Meck Sadiki akizungumza katika uzinduzi huo.
Home
JAMII
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YAONGEZA VYANZO VIWILI VYA MAJI .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...