Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Mkuranga.
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega, amesema kuwa anataka wananchi wamtume cha kuzungumza bunge lijalo juu ya changamoto zao.
Hayo ameyasema katika ziara ya kijiji kwa kijiji katika vijiji Picha ndege pamoja na vikindu, amesema wananchi bila kumtuma hana cha kuzungumza.
Amesema muda wake pasipo kuwa na Bunge utatumika katika kusikiliza kero za wananchi ambao ndio dhamana yake ya ubunge.Ulega amesema wananchi katika kutekeleza miradi ni lazima wachangie ndipo serikali iweze kuunga mkono.
Aidha katika changamoto ya umeme ameliomba shirika la Umeme nchini kumaliza changamoto hiyo kutokana na kusubiri kwa muda Mrefu.
Mkuranga.
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Ulega, amesema kuwa anataka wananchi wamtume cha kuzungumza bunge lijalo juu ya changamoto zao.
Hayo ameyasema katika ziara ya kijiji kwa kijiji katika vijiji Picha ndege pamoja na vikindu, amesema wananchi bila kumtuma hana cha kuzungumza.
Amesema muda wake pasipo kuwa na Bunge utatumika katika kusikiliza kero za wananchi ambao ndio dhamana yake ya ubunge.Ulega amesema wananchi katika kutekeleza miradi ni lazima wachangie ndipo serikali iweze kuunga mkono.
Aidha katika changamoto ya umeme ameliomba shirika la Umeme nchini kumaliza changamoto hiyo kutokana na kusubiri kwa muda Mrefu.
.mbunge wa mkuranga, Abdallah Ulega akitoa Maelezo kwa kaimu meneja wa tanesco juu ya kushughulikia changamoto ya umeme.
Mbunge wa mkuranga ,Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa kijiji cha vikindu, mkuranga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...