Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akimsikiliza Mwenyekiti
wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria ya Uganda Mhe. Jacob Oboth-Oboth
(kulia) alipotembelewa na kamati hiyo Ofisini kwake kwa ajili ya
kujifunza masuala ya kiutumishi.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akizungumza na wajumbe
wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria ya Uganda waliokuja kujifunza
masuala ya kiutumishi nchini.
Mkurugenzi
wa Idara ya Ukuzaji wa Maadili wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi
wa Umma, Bw. Mathew Kirama akitoa ufafanuzi
wa masuala ya maadili katika Utumishi wa Umma kwa wajumbe wa Kamati ya
Bunge ya Katiba na Sheria ya Uganda waliokuja kujifunza masuala ya
kiutumishi nchini.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akiwa katika picha
ya moja na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria ya Uganda
waliokuja nchini kujifunza masuala ya kiutumishi. Kushoto kwake ni
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu
Salome Kaganda.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akiagana na wajumbe
wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria ya Uganda mara baada ya kumaliza
mazungumzo na wajumbe hao waliokuja nchini kujifunza masuala ya
kiutumishi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...