jam5
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimeti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akikagua viambatanisho vya malalamiko yaliyowasilishwa na mmoja wa watumishi wa Halimashauri ya Wilaya Misungwi wakati wa ziara ya  kikazi  ya waziri huyo  aliyoifanya katika Halimashauri hiyo ili kukagua na kufanya tathmini ya zoezi la usajili wa watumishi wa umma  kwa ajili ya kupatiwa Vitambulisho vya Taifa mkoani Mwanza.
jam6
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimeti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akipokea malalamiko ya mtumishi wa Halimashauri ya Wilaya Misungwi wakati wa ziara ya  kikazi  ya waziri huyo  aliyoifanya katika Halimashauri hiyo ili kukagua na kufanya tathmini ya zoezi la usajili wa watumishi wa umma  kwa ajili ya kupatiwa Vitambulisho vya Taifa mkoani Mwanza.
jam8
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimeti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akishuhudia mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ilemela akisajiliwa  kwa ajili ya kupata Kitambulisho cha Taifa wakati wa ziara ya waziri huyo ya kukagua na kufanya tathmini ya zoezi hilo katika Halimashauri hiyo.
jam9
Baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyamagana waliojitokeza kwa ajili ya kujisajili ili kupata Vitambulisho vya Taifa wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimeti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) (hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya waziri huyo aliyoifanya katika Halmashauri hiyo ili kukagua na kufanya tathmini ya zoezi hilo.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...