Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Benoit Janin  (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma ya mtandao wa  4G ambapo sasa miji yote nchini itafikiwa na huduma hiyo.  Kushoto ni Meneja Uendeshaji Mtandao, Ahmed Hassan Abdallah na Meneja Mauzo, Herbet Louis.

 Meneja Mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Hebert  Louis (kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma ya mtandao wa  4G ambapo sasa miji yote nchini itafikiwa na huduma hiyo.  Kushoto ni Meneja Uendeshaji Mtandao, Ahmed Hassan Abdallah na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel, Benoit Janin.
 Meneja Uendeshaji Mtandao wa kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Ahmed Hassan Abdallah (wa pili kushoto),  akiwaonyesha waandishi wa habari  jijini Dar es Salaam, jinsi ya kurekebisha simu na kuwa katika mpangilio wa automatiki  wakati wa uzinduzi rasmi wa huduma ya mtandao wa  4G ambapo sasa miji yote nchini itafikiwa na huduma hiyo.  Kushoto kwake ni  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel, Benoit Janin na Meneja Mauzo, Herbet Louis.
Baadhi ya waandishi  kutoka vyombo mbalimbali vya habari walihudhuria uzinduzi huo.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...