Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa kwa niaba ya familia yake ametoa mchango wa fedha zaidi ya shilingi laki sita kwa Mama Hakika Swalehe kwa ajili ya kuwasidia watoto wake wenye ulemavu wa ngozi (ALBINO) Rashidi Juma (5)na Iklamu Juma (miezi 9) Mama Majaliwa ameahidi kuwasidia watoto hao vifaa vingine vya kutunza ngozi kwa ajili ya Watoto hao wanaoishi katika kijiji cha Mtope wilaya ya Ruwangwa Mkoani Lindi .Picha na Chris Mfinanga
Mama Majaliwa akimsalimia mtoto Iklamu Juma mwenye ulemavu wa ngozi Kushoto ni Rashidi Juma (5)kaka wa Iklamu
Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa akiagana na Mama Hakika Swalehe mara baada ya kuzungumza naye

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...