Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Saugata Bandyopadhyay akisalimiana na wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Saugata Bandyopadhyay akishuhudia Mteja wa Muda Mrefu wa Tawi la Mlimani City, Mary Nderumaki akikata keki katika wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Saugata Bandyopadhyay akimlisha keki Mteja wa mda mrefu, Mary Ndarumaki jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Saugata Bandyopadhyay jijini Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...