Na Yusuph Kileo
Mataifa mbali mbali yame endelea kuwekeza katika sekta ya TEHAMA ikiwa
ni katika jitihada za kurahisisha upatikanaji wa mawasiliano kwa wanchi wake
pamoja na kukuza ufanisi katika utendaji kupitia utumiaji wa mifumo ya
Digitali/Tehama.
Teknolojia ya Setilaiti imeongeza chachu kwenye hili na kwa kuliangalia
hili Jijini Addis Ababa Nchini Ethiopia mkutano wa kwanza kwa nchi za Africa
wenye kauli mbiu “Digital Skies – Everyone connected” ulipata kujadili
kwa kirefu maswala mbali mbali yahusuyo TEHAMA ambapo Viongozi mbali mbali na
wataalam katika nyanja hii walipata kuwasilisha mada na kushiriki katika
mijadala mbali mbali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...