Na Yusuph Kileo
Mataifa mbali mbali yame endelea kuwekeza katika sekta ya TEHAMA ikiwa ni katika jitihada za kurahisisha upatikanaji wa mawasiliano kwa wanchi wake pamoja na kukuza ufanisi katika utendaji kupitia utumiaji wa mifumo ya Digitali/Tehama. 
Teknolojia ya Setilaiti imeongeza chachu kwenye hili na kwa kuliangalia hili Jijini Addis Ababa Nchini Ethiopia mkutano wa kwanza kwa nchi za Africa wenye kauli mbiu “Digital Skies – Everyone connected”  ulipata kujadili kwa kirefu maswala mbali mbali yahusuyo TEHAMA ambapo Viongozi mbali mbali na wataalam katika nyanja hii walipata kuwasilisha mada na kushiriki katika mijadala mbali mbali.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...