Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa anatoa Tathimini ya Utekelezaji wa Mkakati wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani wa kupunguza ajali za barabarani nchini ambapo ajali zimepungua kwa asilimia 10 kwa kipindi cha miezi sita tangu makakati huo ulipozinduliwa. Matokeo ya tathimini hiyo, inaonyesha kupungua kwa ajali na majeruhi nchini kwa kipindi cha miezi miwili baada ya kuzinduliwa kwa mkakati huo Agosti 4 mwaka huu. Kulia ni Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Fortunatus Musilimu. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati alipokuwa anatoa Tathimini ya Utekelezaji wa Mkakati wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani wa kupunguza ajali za barabarani nchini ambapo ajali zimepungua kwa asilimia 10 kwa kipindi cha miezi sita tangu makakati huo ulipozinduliwa. Matokeo ya tathimini hiyo, inaonyesha kupungua kwa ajali na majeruhi nchini kwa kipindi cha miezi miwili baada ya kuzinduliwa kwa mkakati huo Agosti 4 mwaka huu. Kushoto kwa Naibu Waziri ni Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Fortunatus Musilimu. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na waandishi wa habari wakati alipokuwa anatoa Tathimini ya Utekelezaji wa Mkakati wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani wa kupunguza ajali za barabarani nchini ambapo ajali zimepungua kwa asilimia 10 kwa kipindi cha miezi sita tangu makakati huo ulipozinduliwa. Matokeo ya tathimini hiyo, inaonyesha kupungua kwa ajali na majeruhi nchini kwa kipindi cha miezi miwili baada ya kuzinduliwa kwa mkakati huo Agosti 4 mwaka huu. Kulia meza kuu ni Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamishna Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Fortunatus Musilimu. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...