Mwenyekiti wa Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ambaye ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima Ramadhani akifafanua jambo kwenye mkutano huo wa siku mbili unaofanyika mjini Unguja visiwani Zanzibar.
Baadhi ya Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wakifuatilia uwasilishaji wa masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya tume hizo kwenye mkutano unaofanyika mjini Unguja visiwani Zanzibar.
Mwenyekiti wa Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ambaye ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima Ramadhani na Mwenyekiti mwenza wa mkutano huo Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC Salum Kassim Ali, wakiongoza mkutano huo wa siku mbili unaofanyika mjini Unguja visiwani Zanzibar.
Picha na Hussein Makame, NEC-Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...