Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mst. Damian Lubuva
(kushoto) akimkabidhi Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge,
Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama, Taarifa ya
Tathmini Baada ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka
2015 kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Bungeni mjini
Dodoma leo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mst. Damian Lubuva
(kushoto) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira,
Vijana na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama, wakionesha Taarifa ya
Tathmini Baada ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka
2015 ambayo ilikabidhiwa kwa Mhe. Waziri na NEC kwenye ukumbi wa
mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Bungeni mjini Dodoma leo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na
Walemavu Mhe. Jenista Mhagama akihutubia kwenye mkutano wa
kukabidhiwa Taarifa ya Tathmini Baada ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na
Madiwani wa Mwaka 2015, kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri
Mkuu, Bungeni mjini Dodoma leo.Kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa
ya Uchaguzi (NEC) Jaji Mst. Damian Lubuva na Kulia ni Makamu Mwenyekiti
wa NEC Jaji Mst. wa Zanzibar Hamid Mahmoud Hamid.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...