Katibu Mtendaji wa Baraza Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ((NEEC), Bi. Beng’i Issa, akifungua Jijini Dar es Salaam majadiliano ya tathimi ya Ripoti juu ya Sera ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ya Mwaka 2004. (Kushoto) ni Afisa Mchambuzi wa Miradi (Program Analyst UN Women’s Economic Empowerment), Bi.Tertula Swai na (kulia) ni afisa kutoka baraza hilo, Bw. Edward Kessy.
Wadau kutoka taasisi za serikali na asasi za kiraia wakifuatilia taarifa ya tathimini ya Ripoti juu ya Sera Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ya 2004 ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ((NEEC) katika mkutano wao Jijini Dar es Salaam jana. Tathimini hiyo iliwasilishwa na mwezeshaji wa Mkutano, Mchumi Mwandamizi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma,Bw. Elias Luvanda (hayuko pichani).

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam

Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wanchi Kiuchumi (NEEC) limetangaza Jijini Dar es Salaam kwamba linaandaa sera mpya ya uwezeshaji wananchi kiuchumi  na limealika wadau kutoa maoni ili kupata sera itakayokidhi matakwa ya makundi yote katika jamii.

Akifungua mkutano wa majadiliaono tathimi ya Ripoti ya Sera ya Uwezeshaji Wananchi kiuchumi ya mwaka 2004 ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ((NEEC),Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Bi. Beng’i Issa, amesema baraza linawaalima wadau  kutoa mapendekezo yatakayosaidi kuandaa sera mpya badala ya sera ya sasa ya 2004.

SOMA ZAIDI HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...