Shauri la kesi ya jinai inayomkabili mtuhumiwa Salum Njwete almaarufu kwa jina la Scorpion,limeondolewa katika mahakama ya wilaya ya Ilala na
kuhamishiwa katika Mahakama kuu jijini Dar es Salaam, kutokana na ombi lililowasilishwa katika mahakama hiyo na wakili upande wa
Mashtaka Munde Kalombora, na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo Mhe. Adelf Sachore na kuridhia.
TAARIFA ZAIDI TUTAWALETEA.
Mola wape imani vizazi vyetu.Mola
ReplyDeleteatajaalie achukuliwe hatua ila kwa kumwangalia tu kisaikolojia hayupo sawa.
Haoneshi kujuta uso unatabasamu.Ungekuwa ni huku Ulaya anapelekwa ktk sehemu naalumi asaidiwe kichwani kwanza.