Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Manyara, Isaya Shekifu akizungumza na wakazi wa Kata ya Dongobesh Wilayani Mbulu baada ya kukabidhi jana mabati 100 kwa ajili ya upauaji wa jengo la upasuaji wa kituo cha afya.
Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Chelestino Mofuga akizungumza na wakazi wa Kata ya Dongobesh baada ya kukabidhiwa mabati 100 ya jengo la upasuaji wa kituo cha afya na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Manyara.
Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mkoani Manyara, Flatey Massay akizungumza jana na wakazi wa Kata ya Dongobesh baada ya kukabidhiwa mabati 100 ya jengo la upasuaji wa kituo cha afya na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Manyara. Picha na Joseph Lyimo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...