Afisa Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Anna Nguzo akisalimia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makala ambaye alikuwa mgeni rasmi katika Maonyesho ya 13 Wajasiriamali Kanda ya Nyanda za Juu Kusini yaliyofanyika katika Viwanja vya City Garden jijini Mbeya. PICHA NA KENNETH NGELESI.
Kaimu Meneja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mkoa wa Mbeya, Yohana Mwambilija, akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla (kulia) alipotembelea banda la shirika hilo wakati wa ufunguzi wa Maonyesho ya 13 ya Wajasiriamali Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Mkaguzi wa NSSF Mkoa wa Mbeya Bupe Mwantole akimkabidhi mwanachama mpya fomu ya kujiunga na NSSF wakati wa maonyesho ya 13 ya wajasiriamali jijini Mbeya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...