Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya katika
kikao cha Mpango kazi wa mwaka 2016-2017 katika utekelezaji wa robo
mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016 kilichofanyika leo Ikulu Mjini
Unguja,[Picha na Ikulu.] 21/10 /2016.
Waziri wa Afya Mhe,Mahmoud Thabit
Kombo akisoma utekelezaji wa Mpango kazi wa mwaka 2016-2017 katika
kikao siku moja cha robo mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016
kilichofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,chini ya mwenyekiti wake Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein(hayupo pichani) (kushoto) Naibu Waziri wa Afya Mhe,Harusi Saidi
Suleiman,[Picha na Ikulu.] 21/10 /2016.
Baadhi ya Viongozi wa Idara mbali mbali katika ya Wizara ya Afya wakiwa katika
kikao siku moja cha Mpango kazi wa mwaka 2016-2017 katika
utekelezaji wa robo mwaka ya kwanza ya Julai-Septemba 2016
kilichofanyika leo Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 21/10 /2016
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...