Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe,Mwigulu Nchemba wakati alipofika
kujitambulisha kwa Rais Ikulu Mjini Zanzibar leo,[Picha na
kulu.]04/10/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Waziri wa Mambo
ya Ndani ya Nchi Mhe,Mwigulu Nchemba wakati alipofika kujitambulisha
Ikulu Mjini Zanzibar leo,[Picha na kulu.]04/10/2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...