Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mwenyekiti
wa Kundi la Makampuni ya Bakhresa Said Salim Bakhresa (wa kwanza kulia), Mkuu wa
mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo, Mbunge wa Mkuranga Abdallah Ulega
wakivuta kamba kwa pamoja kuashiria ufunguzi rasmi wa kiwanda cha kusindika
Matunda cha Bakhresa Mwandege mkoani Pwani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mwenyekiti
wa Kundi la Makampuni ya Bakhresa Said Salim Bakhresa wakikata utepe kuashiria
ufunguzi wa kiwanda hicho cha usindikaji wa matunda kilichopo Mwandege mkoani Pwani.
Wengine katika picha ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo Bw. abubakar Bakhresa, Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo, Mbunge
wa Mkuranga Abdallah Ulega na Waziri wa Viwanda Biashara na uwekezaji Charles
Mwijage na Mtendaji Mkuu wa Bakhressa Food Products Salim Aziz Salim.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mwenyekiti
wa Kundi la Makampuni ya Bakhressa Said Salim Bakhresa wakiangalia mojawapo za
hatua za usindikaji wa matunda aina ya maembe katika kiwanda hicho kilichopo
Mwandege mkoani Pwani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wafanyakazi Kundi la Makampuni ya Bakhresa mara baada ya kufungua rasmi kiwanda
cha Usindikaji wa Matunda cha Bakhresa kilichopo Mwandege mkoani Pwani. Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...