Rais wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar SMZ na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dk. Ali Mohamed
Shein akipokea mwenge kutoka kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa
Ndugu George Mbijima wakati wa sherehe za uzimaji wa Mwenge wa Uhuru
Bariadi mkoani Simiyu leo baada ya kukimbizwa nchi nzima huku kiongozi
huo akikagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuhimiza
wananchi katika uwajibikaji kwa taifa ambapo sherehe hizo zimefanyika
kitaifa mkoani humo.
Home
HABARI
RAIS WA ZANZIBAR DK ALI MOHAMED SHEIN AONGOZA SHUGHULI ZA UZIMAJI MWENGE MKOANI SIMIYU LEOA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...